اللَّهُمَّ احْفَظْنِي مِنْ بَيْنِ يَدَيَّ وَمِنْ خَلْفِي وَعَنْ يَمِينِي وَعَنْ شِمَالِي وَمِنْ فَوْقِي، وَأَعُوذُ بِعَظَمَتِكَ أَنْ أُغْتَالَ مِنْ تَحْتِي
Allahumma-hfadhni min bayni yadayya wa min khalfi wa 'an yamini wa 'an shimali wa min fawqi, wa a'udhu bi'adhamatika an ughtala min tahti
Ee Allah, nilinde kutoka mbele yangu na kutoka nyuma yangu, na kutoka kulia kwangu na kushoto kwangu, na kutoka juu yangu. Na ninajilinda kwa Ukuu Wako nisimezwe kutoka chini yangu.