قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ النَّاسِ مَلِكِ النَّاسِ إِلَٰهِ النَّاسِ مِنْ شَرِّ الْوَسْوَاسِ الْخَنَّاسِ الَّذِي يُوَسْوِسُ فِي صُدُورِ النَّاسِ مِنَ الْجِنَّةِ وَالنَّاسِ
Qul a'udhu birabbin-nas. Malikin-nas. Ilahin-nas. Min sharril-waswaasil-khannas. Alladhi yuwaswisu fi sudurin-nas. Minal-jinnati wan-nas
Sema: Najilinda kwa Mola wa watu. Mfalme wa watu. Mungu wa watu. Na shari ya mwenye kutia wasiwasi aliyejificha. Anayetia wasiwasi vifuani mwa watu. Katika majini na watu.